Inaonyesha machapisho yaliopangwa kwa tarehe ya hoja Kristo. Panga kwa uhusiano Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliopangwa kwa tarehe ya hoja Kristo. Panga kwa uhusiano Onyesha machapisho yote

Jumapili, 13 Oktoba 2019

Wimbo Mpya wa Kuabudu 2019 | “Kristo wa Siku za Mwisho Ameleta Enzi ya Ufalme” (Swahili Gospel Song)


Wimbo Mpya wa Kuabudu 2019 | “Kristo wa Siku za Mwisho Ameleta Enzi ya Ufalme” (Swahili Gospel Song)

Yesu alipokuja katika ulimwengu wa mwanadamu, Akatamatisha Enzi ya Sheria, Alileta Enzi ya Neema. Mungu mara nyingine akakuwa mwili katika siku za mwisho. Akitamatisha Enzi ya Neema, Alileta Enzi ya Ufalme. Wote wanaokubali kupata mwili kwa Mungu kwa mara ya pili wataongozwa katika Enzi ya Ufalme na kupokea uongozi Wake.

Alhamisi, 19 Septemba 2019

Maneno ya Roho Mtakatifu | “Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima Tamko la Ishirini na Tatu”


Maneno ya Roho Mtakatifu | “Maneno ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima Tamko la Ishirini na Tatu”


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Yaliyopendekezwa: KUPATA MWILI: Kufumbua Fumbo (Sehemu ya Kwanza)

Jumamosi, 20 Julai 2019

Maisha ya Ushindi | 72. Ndio Nimeanza Tu Kutembea Njia Sahihi ya Uzima

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ushuhuda,

Maisha ya Ushindi | 72. Ndio Nimeanza Tu Kutembea Njia Sahihi ya Uzima

Shi Han Mkoa wa Hebei


Nilizaliwa kwa familia maskini ya wakulima. Nimekuwa mwenye busara tangu utotoni, ikimaanisha sijawahi kupigana na watoto wengine na niliwatii wazazi wangu, jambo lililonifanya “msichana mzuri” wa kawaida machoni mwa watu wazima. Wazazi wengine wote walikuwa na wivu sana kwa wazazi wangu, wakisema kuwa walikuwa na bahati kuwa na binti mzuri hivyo. Na hivi tu, nilikua kila siku nikisikiliza sifa kutoka kwa watu waliokuwa karibu nami. Nilipokuwa katika shule ya asili, rekodi yangu ya kitaaluma ilikuwa nzuri hasa, na daima nilipata nafasi ya kwanza katika mitihani.

Alhamisi, 30 Mei 2019

Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa “Maonyo Matatu” | How to Be a Loyal Servant of God


Maneno ya Roho Mtakatifu kwa makanisa “Maonyo Matatu” | How to Be a Loyal Servant of God

Mwenyezi Mungu anasema, “Kama muumini wa Mungu, hufai kuwa watiifu kwa yeyote mwingine isipokuwa Yeye katika mambo yote na mjilinganishe na moyo Wake katika mambo yote. Hata hivyo, ingawa wote huelewa mafundisho haya, ukweli huu wa kimsingi ulio wazi kabisa kwa binadamu hauwezi kuonekana kuwa kujumuishwa kwao kikamilifu, kutokana na ugumu wao, kama vile hali yao ya kutojua, upuzi, au ufisadi. Kwa hivyo, kabla ya kuuamua mwisho wenu, Ninafaa kuwaambia kwanza baadhi ya mambo, ambayo ni yenye umuhimu mkubwa sana kwenu. ... Katika maisha yenu, Naona mengi ambayo mnafanya ambayo hayana uhusiano na ukweli, kwa hivyo Nawaambia moja kwa moja muwe watumishi wa ukweli na wala si kutawaliwa na maovu na ubaya. Msikanyage ukweli na kuchafua sehemu yoyote ya nyumba ya Mungu. Hili ndilo onyo Langu kwenu.”
Yaliyopendekezwa: Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kutazama Kuonekana kwa Mungu katika Hukumu na Kuadibu Kwake"

Tufuate: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumamosi, 18 Mei 2019



Neno la Mungu | “Kujua Hatua Tatu za Kazi ya Mungu Ndiyo Njia ya Kumjua Mungu” Sehemu ya Pili

Mwenyezi Mungu anasema, “Hatua tatu za kazi ndizo kiini cha usimamizi mzima wa Mungu, na ndani yazo zimeelezwa tabia ya Mungu na kile Alicho. Wale wasiojua kuhusu hatua tatu za kazi ya Mungu hawana uwezo wa kutambua jinsi Mungu anavyoonyesha tabia Yake, wala hawajui hekima ya kazi ya Mungu, na wanasalia kutojua njia nyingi Anazomwokoa mwanadamu, na mapenzi Yake kwa wanadamu wote. Hatua tatu za kazi ndizo maonyesho kamili ya kazi ya kumwokoa mwanadamu. Wale wasiofahamu hatua tatu za kazi watakosa kuelewa njia mbalimbali na kanuni za kazi ya Roho Mtakatifu; wale wanaoshikilia tu imara mafundisho ya dini yanayosalia kutoka katika hatua moja ya kazi ni watu wanaomwekea Mungu mipaka kwa mafundisho ya dini, na wale ambao imani yao kwa Mungu haina udhahiri na uhakika. Watu kama hao kamwe hawawezi kupokea wokovu wa Mungu.”

Yaliyopendekezwa: Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kutazama Kuonekana kwa Mungu katika Hukumu na Kuadibu Kwake"
Tufuate: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumatatu, 13 Mei 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 61. Mchakato wa Mbadiliko wa Muumini Mwenye Kiburi

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 61. Mchakato wa Mbadiliko wa Muumini Mwenye Kiburi

Zhang Yitao, Mkoa wa Henan
“Mungu, kazi Yako ni ya vitendo sana, imejaa haki na utakatifu sana. Umekuwa ukifanya kazi kwa muda mrefu kwa subira, yote kwa ajili yetu. Katika siku za nyuma, nilimwamini Mungu lakini sikuwa na mwenendo wa binadamu. Nilikuasi na kuumiza moyo Wako bila kujua. Nimejaa aibu na majuto na ninapaswa kukushukuru Wewe. Ni sasa tu ninapotambua hili. ... Bila Hukumu Yako kali, singekuwa na leo, na nikikabiliwa na upendo Wako wa kweli nina shukrani na kuwiwa na Wewe. Ilikuwa ni kazi Yako ambayo iliniokoa na kusababisha tabia yangu kubadilika.

Alhamisi, 9 Mei 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II Tabia ya Haki ya Mungu” Sehemu ya Kwanza


Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”. Maudhui ya video hii: Kwa Kupinga Mungu kwa Ukaidi, Binadamu Anaangamizwa na Hasira za Mungu Kupotoka kwa Sodoma: Kunakasirisha Binadamu, Kunaghadhibisha Mungu Sodoma Yaangamizwa kwa Kukosea Hasira za Mungu Baada ya Ukinzani wa Mara kwa Mara wa Sodoma na Ukatili Wao Dhidi Yake, Mungu Anaufuta Kabisa

Yaliyopendekezwa: Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | "Kutazama Kuonekana kwa Mungu katika Hukumu na Kuadibu Kwake"
Tufuate: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Jumatano, 8 Mei 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 59. Kuzaliwa Upya

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ukweli,

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 59. Kuzaliwa Upya

Yang Zheng Mkoa wa Heilongjiang
Nilizaliwa katika familia maskini ya vijijini iliyokuwa nyuma kimaendeleo katika kufikiri kwao. Nilikuwa ovyo kutoka utotoni na hamu yangu ya hadhi ilikuwa hasa yenye nguvu. Baada ya muda, kupitia ushawishi wa jamii na mafunzo ya kitamaduni, nilichukua aina zote za sheria za Shetani za kuponea moyoni mwangu. Aina zote za hoja za uwongo zililea matamanio yangu ya sifa na hadhi, kama vile kujenga nchi nzuri ya asili kwa mikono yako miwili, umaarufu utakufanya kuishi milele, watu wanahitaji nyuso kama mti unavyohitaji ganda lake, kujiendeleza na kuwa juu, mtu anapaswa kuleta heshima kwa mababu zake, nk.

Jumanne, 7 Mei 2019

56. Ni kwa Kuingia Katika Ukweli Mimi Mwenyewe tu Ndio Ninaweza Kuwasaidia Wengine

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu,

56. Ni kwa Kuingia Katika Ukweli Mimi Mwenyewe tu Ndio Ninaweza Kuwasaidia Wengine

Du Fan Mkoa wa Jiangsu
Hivi karibuni, kanisa moja lilikuwa linakipiga kura ili kumchagua kiongozi mpya, lakini kiongozi aliyeongoza alienda kinyume na kanuni za kanisa, akitumia njia yake mwenyewe kutekeleza upigaji kura. Wakati ndugu fulani wa kiume na wa kike walipotoa maoni yao, sio tu kwamba hakuyakubali, lakini alisisitiza kushikilia njia yake mwenyewe. Baadaye kanisa lilitupwa katika mchafuko kwa ajili ya vitendo vya kiongozi huyo. Nilipopata kujua, nilikasirika kabisa: Mtu anawezaje kuwa mwenye kiburi mno na wa kujidai?

Jumatatu, 6 Mei 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 45. Siri Zilizofichwa Nyuma ya Ufuatiliaji

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ukweli,

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 45. Siri Zilizofichwa Nyuma ya Ufuatiliaji

Li Li Mji wa Dezhou, Mkoa wa Shandong
Sio muda mrefu uliopita, nilichaguliwa kama kiongozi wa ngazi ya katikati na ndugu zangu wa kiume na kike. Siku moja, nilipokuwa nimekusanyika na wafanyakazi wenzangu, sikuweza kujizuia kufikiria mwenyewe: ni lazima nifanye vyema. Ningetimiza wajibu wangu vibaya, viongozi wangu na wafanyakazi wenzangu wangenionaje? Matokeo yake yalikuwa, tulipozungumzia mada fulani pamoja, almuradi nilikuwa na ufahamu kidogo wa mada hiyo, basi ningejaribu kuwa wa kwanza kusema kitu, hata hivyo wakati sikuwa na ufahamu wa mada iliyojadiliwa na sikuweza kusema chochote, nilijipata nikiwa na wasiwasi.

Jumapili, 5 Mei 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 31. Mawazo Kuhusu Kubadilishwa

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 31. Mawazo Kuhusu Kubadilishwa

Yi Ran Mji wa Laiwu , Mkoa wa Shandong
Wakati fulani awali, kwa sababu yangu kutoelewa kanuni iliyotumiwa na kanisa ya masahihisho ya wafanyakazi wa kanisa, wakati kanisa lilibadilisha kiongozi, dhana iliibuka ndani yangu. Kutoka kwa kile nilichoweza kuona, dada aliyebadilishwa alikuwa mzuri sana kwa kupokea na kushirikiana ukweli, na aliweza kuwa wazi juu ya maonyesho yake ya upotovu. Kwa hiyo sikuweza kujua asilani jinsi mtu fulani aliyetafuta ukweli sana angeweza kubadilishwa.

Jumamosi, 4 Mei 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo| 29. Kwa Nini Sijabadilika Baada ya Miaka Mingi ya Imani

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ukweli,

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 29. Kwa Nini Sijabadilika Baada ya Miaka Mingi ya Imani

Jinru Mji wa Nanyang, Mkoa wa Henan
Wakati ndugu wa kiume au wa kike alipoonyesha dosari zangu au hakusikiza kauli yangu ama sikuhisi kushawishika au nilibishana nao. Nilijutia vitendo vyangu baadaye, lakini nilipokabiliwa na mambo haya, sikuweza kujizuia mwenyewe kuifichua tabia yangu potovu. Nilisumbuliwa na hili kwa kina, na nikafikiri: Kwa nini maneno ya wengine yanaweza kuniaibisha hadi kukasirika? Na kwa nini sijabadilika hata kidogo licha ya miaka minane ya kumfuata Mungu?

Ijumaa, 3 Mei 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu (II)” Sehemi ya Tatu

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu (II)” Sehemi ya Tatu
Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”. Maudhui ya video hii: Uhuru: Awamu ya Tatu 1. Baada ya Kuwa Huru, Mtu Huanza Kupitia Ukuu wa Muumba 2. Kuwaacha Wazazi wa Mtu na Kuanza kwa Bidii Kuendeleza Wajibu Wako Kwenye Ukumbi wa Sanaa wa Maisha Ndoa: Awamu ya Nne 1. Mtu Hana Chaguo Kuhusu Ndoa 2. Ndoa Inazaliwa Kutokana na Hatima ya Wandani Wawili

Yaliyopendekezwa: Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IX Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (III)” Sehemu ya Pili
Tufuate: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Alhamisi, 2 Mei 2019

26. Kazi ya Mungu Ni ya Hekima Sana

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu,

26. Kazi ya Mungu Ni ya Hekima Sana

Shiji Jiji la Ma’anshan, Mkoa wa Anhui
Wakati wa kufanya kazi kwangu kama kiongozi katika kanisa, kiongozi wangu mara nyingi angeshirikiana mifano ya kushindwa kwa wengine ili kutumikia kama somo kwetu. Kwa mfano: Viongozi wengine walizungumza tu kuhusu elimu na mafundisho lakini walikosa kutaja upotovu wao au kuwasiliana kwa karibu kuhusiana na ufahamu wao wa jinsi ukweli unavyotumika kwa ukweli. Kama matokeo, hawakuweza kufanya kazi ya utendaji, wakigeuka kuwa viongozi wa uwongo wa kubadilishwa.

Jumatano, 1 Mei 2019

22. Mbona Ujihusishe na Hila Unapomtumikia Mungu

22. Mbona Ujihusishe na Hila Unapomtumikia Mungu

Hu Qing Jijini Suzhou, Mkoani Anhui
Nilipoona maneno ya Mungu yakisema: “Wale ambao huhudumu kama viongozi daima hutaka kuwa na ubunifu mkubwa, kuwa wazuri kuliko wengine, kupata hila mpya ili Mungu aweze kuona jinsi kweli walivyo na uwezo. … Wao daima hutaka kuringa; si huu ni ufunuo kwa usahihi wa asili ya kiburi?” (“Bila Ukweli Ni Rahisi Kumkosea Mungu” katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo), Nilifikiri mwenyewe: Nani ana ujasiri kama huo kujaribu kupata ujanja mpya ya ubunifu?

Jumanne, 30 Aprili 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 20. Maneno ya Mungu Yameniamsha

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ukweli,

 Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 20. Maneno ya Mungu Yameniamsha

Miao Xiao Mji wa Jinan, Mkoa wa Shandong
Katika siku zilizopita, nilikuwa daima nikifikiri kuwa Mungu aliposema “ni kibaraka na msaliti anayekikimbia kiti kikuu cheupe cha enzi” Alikuwa anaashiria wale wanaoikubali kazi ya Mungu katika siku za mwisho lakini ambao baadaye wanarudi nyuma. Kwa hivyo, wakati wowote nilipoona ndugu wakijiondoa katika njia hii kwa sababu yoyote ile, moyo wangu ungejawa na dharau kwao. Huyo, kibaraka na msaliti mwingine anatoroka kutoka kwa kiti kikuu cheupe cha enzi ambaye atapokea adhabu ya Mungu.

Jumapili, 28 Aprili 2019

15. Si Rahisi Kwako kwa Hakika Kujijua Mwenyewe

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, hukumu,

15. Si Rahisi Kwako kwa Hakika Kujijua Mwenyewe

Zhang Rui Mji wa Hangzhou, Mkoa wa Zhejiang
Niliona katika maneno ya Mungu kwamba Mungu anawapenda watu waaminifu na anawachukia watu wadanganyifu, na ni watu wanyofu tu watakaopata sifa Zake. Kwa hiyo, nilitaka kuwa mtu mnyofu, kwa utambuzi kufanya mazoezi ya kuzungumza kwa usahihi, kuwa bila upendeleo na wa busara, na kutafuta ukweli kutoka kwa mambo ya hakika wakati wa kutoa taarifa juu ya masuala. Katika kazi yangu, kama iwe ni kosa au upungufu, mimi nililielezea kwa undani kwa kiongozi.

Jumamosi, 27 Aprili 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 14. Ni Nini Husababisha Uongo

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Ukweli,

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 14. Ni Nini Husababisha Uongo

Xiaojing Jijini Heze, Mkoani Shandong
Kila mara nilipoona neno la Mungu likituomba kuwa watu waaminifu na kuzungumza kwa usahihi, niliwaza, “Sina tatizo na kuzungumza kwa usahihi. Si ni kusema tu kitu jinsi kilivyo na kusema mambo jinsi yalivyo? Je, hiyo si rahisi? Kilichokuwa kimenikera zaidi daima katika dunia hii walikuwa watu waliotia chumvi walipozungumza.” Kwa sababu ya hili, nilihisi imani kuu, nikifikiri kwamba sikuwa na shida katika hali hii. Lakini kupitia tu kwa ufunuo wa Mungu ndio niligundua kwamba, bila kuingia katika ukweli au kubadili tabia ya mtu, mtu hawezi kwa vyovyote kuzungumza kwa usahihi.

Ijumaa, 26 Aprili 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 12. Vigezo vya Mtu Aliye Mwema Kwa Kweli

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, ushuhuda,

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 12. Vigezo vya Mtu Aliye Mwema Kwa Kweli

Moran Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong

Tangu nilipokuwa mtoto, siku zote nilishikiza umuhimu mkubwa kwa jinsi watu wengine walivyoniona na ukadiriaji wao kwangu. Ili niweze kupata sifa kutoka kwa wengine kwa kila kitu nilichokifanya, sikubishana na yeyote asilani wakati wowote kitu chochote kilichoibuka, ili kuepuka kuharibu picha nzuri watu wengine walikuwa nayo kwangu. Baada ya kuikubali kazi ya Mungu katika siku za mwisho, niliendelea kwa njia hii, nikizingatia kwa kila njia iwezekanayo picha nzuri ambayo ndugu zangu wa kiume na wa kike walikuwa nayo kwangu.

Alhamisi, 25 Aprili 2019

Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 9. Kuzing’uta Pingu za Roho

 Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 9. Kuzing’uta Pingu za Roho

Wu Wen Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan
Nilikuwa mtu dhaifu na mwenye tabia nyepesi kuhisi. Wakati sikumwamini Mungu, mara kwa mara ningejihisi mwenye huzuni na masikitiko kutokana na mambo yaliyokuja katika maisha. Kulikuwa na nyakati nyingi kama hizi, na siku zote nilihisi kwamba maisha yangu yalikuwa magumu; hapakuwa na furaha, hamkuwa na ridhisho moyoni mwangu ya kuzungumzia. Uchungu huu ulikuwa tu kama pingu zilizonifunga kabisa kila mara, zikinifanya niwe mwenye huzuni. Ilikuwa tu baada kumwamini Mwenyezi Mungu ndipo nilipata kiini cha matatizo ndani ya maneno ya Mungu na nikapata uhuru polepole.