Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Utakatifu-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Utakatifu-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 4 Desemba 2017

Sura ya 18 | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki

Sura ya 18 | Maneno ya Mungu
Mwenyezi Mungu alisema:" Katika mwako wa umeme, kila mnyama hufichuliwa katika hali yake halisi. Hivyo pia, kama wameangaziwa na mwanga Wangu, wanadamu wamepata tena utakatifu waliokuwa nao wakati mmoja. Oh, ya kwamba dunia potovu ya zamani mwishowe imeanguka na kutumbukia ndani ya maji ya taka na, kuzama chini ya maji, na kuyeyuka na kuwa tope! Ah, ya kwamba binadamu wote Niliouumba hatimaye umerudiwa na uhai tena katika mwanga, kupata msingi wa kuwepo, na kuacha kupambana katika tope! Ah, Mambo mengi ya uumbaji Ninayoyashikilia mikononi Mwangu!

Ijumaa, 17 Novemba 2017

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Sehemu ya Kwanza

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Sehemu ya Kwanza

Utakatifu wa Mungu (II)

Mwenyezi Mungu alisema,Habari za jioni kila mtu! (Habari ya jioni Mwenyezi Mungu!) Leo, kaka na dada, hebu tuimbe wimbo. Tafuta mmoja ambao mnapenda na ambao mmeimba mara nyingi kabla. (Tungependa kuimba wimbo wa neno la Mungu “Upendo Safi Bila dosari.”)

Alhamisi, 16 Novemba 2017

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Sehemu ya Pili

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V(2)Sehemu ya Pili
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V Sehemu ya Pili

Mwenyezi Mungu alisema,Kiini cha Shetani ni ovu, kwa hivyo matokeo ya vitendo vya Shetani bila shaka ni ovu, ama kwa kiwango cha chini kabisa, yanahusiana na uovu wake, tunaweza kusema hayo? (Ndiyo.) Kwa hivyo, je Shetani anampotosha mwanadamu vipi?

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee IV

Utakatifu wa Mungu (I)

Mwenyezi Mungu alisema,Tumekuwa na ushirika wa ziada wa mamlaka ya Mungu leo, na hatutazungumza kuhusu haki ya Mungu sasa hivi. Leo tutazungumza kuhusu mada nzima mpya—utakatifu wa Mungu. Utakatifu wa Mungu pia ni kipengele kingine cha kiini cha kipekee