Jumatano, 20 Februari 2019

Maneno ya Mungu | Ni Lazima Wale Wanaofaa Kukamilishwa Wapitie Usafishaji

Mwenyezi Mungu anasema:" Kama unamwamini Mungu, ni lazima umtii Mungu, uweke ukweli katika vitendo na utimize wajibu wako wote. Zaidi ya hayo, ni lazima uelewe mambo unayopaswa kupitia. Ikiwa unapitia tu kushughulikiwa, kufundishwa nidhamu na hukumu, kama wewe unaweza tu kumfurahia Mungu, lakini huwezi kuhisi wakati Mungu anakufundisha nidhamu au kukushughulikia, hili halikubaliki. Labda katika wakati huu wa usafishaji unaweza kushikilia msimamo wako. Hii bado haitoshi; ni lazima uendelee mbele. 

Jumanne, 19 Februari 2019

Maneno ya Mungu | Hudumu kama Waisraeli Walivyofanya

Maneno ya Mungu | Hudumu kama Waisraeli Walivyofanya

Mwenyezi Mungu anasema:“ Siku hizi watu wengi hawatilii maanani mafunzo yapi yanayopaswa kusomwa wakati wa upatano na wengine. Nimegundua kuwa wengi wenu hawawezi kujifunza mafunzo hata kidogo wakati wa ushirikiano na wengine.

Jumatatu, 18 Februari 2019

Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Nne


Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Nne

    Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Elewa Mwelekeo wa Mungu na Utupilie Mbali Dhana zote Potovu Kumhusu Mungu
Ni Nani Hupanga Matokeo ya Binadamu

Jumapili, 17 Februari 2019

Nyimbo za dini | 65. Kutafuta Wandani

Nyimbo za dini | 65. Kutafuta Wandani

I
Umefanya kazi katika bustani kwa muda mrefu na Umepanda upendo Wako ndani sana.
Umelipa kila gharama, Ukitamani kuwapata watu ambao wana moyo mmoja na Wewe. 

Jumamosi, 16 Februari 2019

Nyimbo za kusifu | 63. Upendo wa Kweli Miongoni mwa Binadamu

Nyimbo za kusifu | 63. Upendo wa Kweli Miongoni mwa Binadamu

I
Unaonyesha ukweli na kumpa mwanadamu njia ya uzima wa milele.
Unavumilia maumivu ya kukataliwa na kushiriki katika taabu za mwanadamu.
Unatembea kati ya makanisa na kuwaongoza wateule Wako.
Unaishi pamoja na mwanadamu na kuteseka pamoja naye.
Umeumia katika maumivu kwa miongo. 

Alhamisi, 14 Februari 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu I" Sehemu ya Tatu



Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu I" Sehemu ya Tatu
    Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.Maudhui ya video hii:
Baada ya Kuumba Viumbe Vyote, Mamlaka ya Muumba Yanathibitishwa na Kuonyeshwa kwa Mara Nyingine Tena Kwenye Agano la Upinde wa Mvua