Jumanne, 19 Februari 2019

Maneno ya Mungu | Hudumu kama Waisraeli Walivyofanya

Maneno ya Mungu | Hudumu kama Waisraeli Walivyofanya

Mwenyezi Mungu anasema:“ Siku hizi watu wengi hawatilii maanani mafunzo yapi yanayopaswa kusomwa wakati wa upatano na wengine. Nimegundua kuwa wengi wenu hawawezi kujifunza mafunzo hata kidogo wakati wa ushirikiano na wengine.

Jumatatu, 18 Februari 2019

Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Nne


Matamshi ya Mungu | “Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake” Sehemu ya Nne

    Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Elewa Mwelekeo wa Mungu na Utupilie Mbali Dhana zote Potovu Kumhusu Mungu
Ni Nani Hupanga Matokeo ya Binadamu

Jumapili, 17 Februari 2019

Nyimbo za dini | 65. Kutafuta Wandani

Nyimbo za dini | 65. Kutafuta Wandani

I
Umefanya kazi katika bustani kwa muda mrefu na Umepanda upendo Wako ndani sana.
Umelipa kila gharama, Ukitamani kuwapata watu ambao wana moyo mmoja na Wewe. 

Jumamosi, 16 Februari 2019

Nyimbo za kusifu | 63. Upendo wa Kweli Miongoni mwa Binadamu

Nyimbo za kusifu | 63. Upendo wa Kweli Miongoni mwa Binadamu

I
Unaonyesha ukweli na kumpa mwanadamu njia ya uzima wa milele.
Unavumilia maumivu ya kukataliwa na kushiriki katika taabu za mwanadamu.
Unatembea kati ya makanisa na kuwaongoza wateule Wako.
Unaishi pamoja na mwanadamu na kuteseka pamoja naye.
Umeumia katika maumivu kwa miongo. 

Alhamisi, 14 Februari 2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu I" Sehemu ya Tatu



Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu I" Sehemu ya Tatu
    Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.Maudhui ya video hii:
Baada ya Kuumba Viumbe Vyote, Mamlaka ya Muumba Yanathibitishwa na Kuonyeshwa kwa Mara Nyingine Tena Kwenye Agano la Upinde wa Mvua

Jumatano, 13 Februari 2019

Neno la Mungu | Sura ya 35

Neno la Mungu | Sura ya 35

Mwenyezi Mungu anasema, "Nimeanza kutenda kazi Yangu kati ya wanadamu, kuwakubalia kuishi mkondo mmoja Nami. Nitakamilisha kazi Yangu nikiwa kati yao, maana wao ni vyombo Ninavyosimamia katika mpango Wangu wote wa usimamizi—na ni mapenzi Langu ili waweze kuwa watawala wa vitu vyote. Hivyo basi Naendelea kutembea kati ya wanadamu.