Sura ya 13. Maana ya Utendaji wa Watu Kuamua Matokeo Yao |
Jumanne, 9 Januari 2018
Sura ya 13. Maana ya Utendaji wa Watu Kuamua Matokeo Yao
Sura ya 13. Maana ya Utendaji wa Watu Kuamua Matokeo Yao | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Jumatatu, 8 Januari 2018
Sura ya 19. Maana ya Mungu Kuupitia Uchungu wa Dunia
Sura ya 19. Maana ya Mungu Kuupitia Uchungu wa Dunia |
Sura ya 19. Maana ya Mungu Kuupitia Uchungu wa Dunia
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu anapata mwili ili ateseke kwa niaba ya mwanadamu, na kwa kufanya hivyo atasababisha hatima iliyo ya ajabu ambayo itafuata kwa ajili ya mwanadamu. Hatua hiyo ya kazi iliyokamilishwa na Yesu ilikuwa tu kuwa Kwake mfano wa mwili wenye dhambi na kusulubiwa, kuhudumu Kwake kama sadaka ya dhambi na kuwakomboa wanadamu wote, na hii iliweka msingi wa kuingia kwa baadaye kwa mwanadamu katika hatima iliyo ya ajabu.
Jumapili, 7 Januari 2018
Sura ya 48. Ni kwa Kuzielewa Hali Zako tu Ndipo Utakapoweza Kutembea Katika Njia Sawa
Sura ya 48. Ni kwa Kuzielewa Hali Zako tu Ndipo Utakapoweza Kutembea Katika Njia Sawa |
Sura ya 48. Ni kwa Kuzielewa Hali Zako tu Ndipo Utakapoweza Kutembea Katika Njia Sawa | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Ndani ya mwanadamu mara nyingi zipo baadhi ya hali mbaya. Miongoni mwao ni baadhi ya hali ambazo zinaweza kuwaathiri watu au kuwadhibiti. Kunazo baadhi ya hali ambazo zinaweza hata kumfanya mtu kuiacha njia ya kweli na kuelekea katika njia mbovu. Kile mwanadamu anachokitafuta, kile wanachozingatia na njia wanayochagua kuifuata—haya yote yanahusiana na hali zao za ndani.
Jumamosi, 6 Januari 2018
Sura ya 30. Kumtumikia Mungu Mtu Anapaswa Kutembea Njia ya Petro
Sura ya 30. Kumtumikia Mungu Mtu Anapaswa Kutembea Njia ya Petro |
Sura ya 30. Kumtumikia Mungu Mtu Anapaswa Kutembea Njia ya Petro
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi hawawezi kuainisha ni watu gani wana ukweli, watu gani hawana ukweli na watu gani husema mambo yaliyo na ukweli. Unapoulizwa kueleza ni nini maana ya "ukweli," huwezi kueleza kwa wazi. Lakini mara tu mtu anaposema kitu, unasema: “Mtazamo wake ni wa kweli. Maneno ayasemayo yanaonyesha ufahamu wa utendaji uliopatikana kupitia kwa uzoefu.”
Ijumaa, 5 Januari 2018
Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa
Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Wengine Je, mna uzoefu wowote wa kuwa waaminifu? (Ni vigumu kuwa mwaminifu). Na mbona ni vigumu? (Ninapotafakari juu yangu kila siku, nagundua kuwa najua vyema kujifanya, na kwamba nimesema mengi ambayo si sahihi. Wakati mwingine, maneneo yangu yatakuwa na hisia na motisha, wakati mwingine, nitaunda ujanja fulani ili kutimiza malengo yangu,
Alhamisi, 4 Januari 2018
Sura ya 17. Ufahamu wa Kupata Mwili
Sura ya 17. Ufahamu wa Kupata Mwili |
Sura ya 17. Ufahamu wa Kupata Mwili
Mwenyezi Mungu alisema, Kumjua Mungu kunapaswa kufanywa kupitia kwa kusoma neno la Mungu na kulielewa neno la Mungu. Watu wengine husema: "Sijamwona Mungu mwenye mwili, hivyo nitawezaje kumjua Mungu?" Neno la Mungu kwa kweli ni maonyesho ya tabia ya Mungu. Kutoka kwa neno la Mungu unaweza kuuona upendo wa Mungu kwa wanadamu, wokovu Wake wa wanadamu, na jinsi Anavyowaokoa ...
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)