Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo waaminifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo waaminifu. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 5 Januari 2018

Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Sura ya 62. Ili Kuwa Mwaminifu, Unapaswa Kujiweka Wazi kwa | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Wengine Je, mna uzoefu wowote wa kuwa waaminifu? (Ni vigumu kuwa mwaminifu). Na mbona ni vigumu? (Ninapotafakari juu yangu kila siku, nagundua kuwa najua vyema kujifanya, na kwamba nimesema mengi ambayo si sahihi. Wakati mwingine, maneneo yangu yatakuwa na hisia na motisha, wakati mwingine, nitaunda ujanja fulani ili kutimiza malengo yangu,