Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-za-hukumu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo siku-za-hukumu. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 11 Januari 2019

Sura ya 35

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

Sura ya 35

Mwenyezi Mungu anasema, " Siku hizi, binadamu wote, kwa viwango vinavyotofautiana, wameingia katika hali ya kuadibu. Kama tu alivyosema Mungu, “Naenda mbele na binadamu sako kwa bako.” Hii ni kweli kabisa, lakini watu bado hawawezi kulielewa kabisa wazo hili.