Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumwokoa-Mwanadamu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumwokoa-Mwanadamu. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 11 Oktoba 2018

229. Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

229. Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

I
Mungu aliumba ulimwengu huu na akamleta mwanadamu ndani yake,
kiumbe hai ambaye Mungu alimpa uhai.
Kisha mwanadamu akawa na wazazi na jamaa, hayuko pekee tena,
alikusudiwa kuishi katika utaratibu wa Mungu.
Ni pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu
ambayo inakimu kila kiumbe hai
kote katika ukuaji wao hadi utu uzima.