Jumamosi, 16 Machi 2019

wimbo wa kuabudu | 327. Unapaswa Kufuatilia Maendeleo Halisi

Mungu anatumaini kwamba watu wanaweza kuyaelewa mapenzi ya Mungu,
kuwa wanaweza kufanya kazi pamoja kumridhisha Mungu kwa ajili ya maadili ya pamoja,
na wanaweza kuendelea pamoja kwenye njia ya ufalme.
Kuna haja gani ya kuja na dhana zisizohitajika?
Ni kuweko kwa nani ambako hadi leo hakujakuwa kwa ajili ya Mungu?
Na kwa kuwa ni hivyo, kuna haja gani ya sikitiko, huzuni, na kutanafusi?
Hili halina faida kwa yeyote.
Maisha ya mtu yako mikononi mwa Mungu,
na kama si kwa ajili ya azimio lao mbele Yake,
ni nani angependa kuishi bure,
kuwa katika ulimwengu mtupu wa mwanadamu?
Kutimua ndani, kutimua nje ya maisha katika dunia hii,
si maisha yatapotezwa kama hakuna kitu kitakachofanywa kwa Mungu,
kama hakuna kitu kitakachofanywa kwa Mungu?
Hata kama Mungu haoni matendo yako yakistahili kutajwa,
hutatabasamu kwa kuridhika utakapokufa?
Eeh, unapaswa kufuatilia maendeleo halisi,
uepuke kurudi nyuma hasi.
Si hili ni tendo bora?
kutoka katika "Ufafanuzi wa Tamko la Thelathini na Tisa" la Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni