Alhamisi, 1 Februari 2018
Ushuhuda wa Kuipitia Hukumu ya Kristo | 73. Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?
Kanisa la Mwenyezi Mungu | 73. Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo?
Jumatano, 31 Januari 2018
Sura ya 52. Dalili za Udanganyifu Ndani ya Mwanadamu na Asili ya Mwanadamu Ambazo Humsaliti Mungu
Sura ya 52. Dalili za Udanganyifu Ndani ya Mwanadamu na Asili ya Mwanadamu Ambazo Humsaliti Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Ugumu ambao watu wanaweza kuukabili kwa urahisi katika uzoefu wao, vitu ambavyo vinawasababisha watu kuanguka kwa urahisi, na pahali ambapo udhaifu wa jaala wa kila mtu upo yote ni masuala ambayo lazima mtu awe na ujuzi nayo. Kwa nini unaanguka, unamwacha Mungu na kupoteza imani ya kuendelea na ukimbiziaji wako wa ukweli unapokabiliana na mambo fulani? Kwa sasa, kila mtu yumo hatarini mwa mambo haya.
Sura ya 55. Usieleze Kile Mungu Alicho Nacho na Kile Alicho
Sura ya 55. Usieleze Kile Mungu Alicho Nacho na Kile Alicho
Mwenyezi Mungu alisema, Kazi na matamshi ya Mungu ya miaka michache iliyopita yote yamerekodiwa kimsingi katika kitabu, Neno Laonekana katika Mwili. Baadhi ya maneno katika kitabu hiki ni ya kinabii na yanatabiri vile enzi za baadaye zitakavyokuwa. Unabii kwa kweli ni mfumo wa jumla, na zaidi ya nusu ya kitabu kinajadili kuingia kwa mwanadamu kwa maisha, kinaweka wazi utu, na kinazungumzia kuhusu kumwelewa Mungu na tabia Yake.
Jumanne, 30 Januari 2018
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen”(6): Kurudi
Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen”(6): Kurudi
Mwenyezi Mungu anasema, “Unapokuwa umechoka na unapoanza kuona huzuni katika ulimwengu huu, usifadhaike, usilie. Mwenyezi Mungu, Mlinzi, atakaribisha kuwasili kwako wakati wowote. Yupo pembeni mwako Anakuangalia, anakusubiri uweze kumrudia. Anasubiri siku ambayo kumbukumbu zako zitarejea” (Neno Laonekana katika Mwili) Jinsi tu Xiaozhen aliachwa akiwa ameviliwa na kupigwa na ulimwengu huu na alijitoa mwenyewe kwa kukata tamaa, upendo wa Mwenyezi Mungu ulimjia na moyo wake ukaamshwa …
Kanisa la Mwenyezi Mungu | Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen”(5): Maisha katika Bwalo la Dansi
Christian Music Video Swahili “Hadithi ya Xiaozhen”(5): Maisha katika Bwalo la Dansi
Akiishi nyuma ya kinyago, Xiaozhen alisimilishwa na kumezwa polepole na ulimwengu huu. Alipoteza heshima yake miongoni mwa njia potovu za ulimwengu mbaya …
Jumatatu, 29 Januari 2018
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho “Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote”
Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho “Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote”
Mwenyezi Mungu alisema, “Kama wewe ni Mkristo wa kweli, basi hakika utaamini kwamba kupanda na kushuka kwa nchi ama taifa lolote hufanyika kulingana na miundo ya Mungu. Mungu pekee hujua majaliwa ya nchi ama taifa, na Mungu pekee hudhibiti mwendo wa huyu mwanadamu.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)