Jumatatu, 27 Novemba 2017
Jumapili, 26 Novemba 2017
Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja
Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja
Mwenyezi Mungu alisema, Mwanzoni, Mungu alikuwa anapumzika. Hakukuwa na binadamu ama kitu chochote kingine duniani wakati huo, na Mungu hakuwa amefanya kazi yoyote ile. Mungu alianza tu kazi Yake ya usimamizi baada ya binadamu kuwepo na baada ya binadamu kupotoshwa.
Amri za Enzi Mpya | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Amri za Enzi Mpya | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Mmeambiwa kuwa mjiandae kwa maneno ya Mungu, ya kuwa pasipo kujali kilichoandaliwa juu yenu, yote yamepangwa kwa mkono wa Mungu, na kwamba hakuna haja ya kuomba kwa bidii au kusali kwenu—haina maana.
Jumamosi, 25 Novemba 2017
Kiini cha Mwili Ulio na Mungu
Kiini cha Mwili Ulio na Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Mungu mwenye mwili wa kwanza Aliishi duniani kwa miaka thelathini na tatu na nusu, lakini Alitekeleza huduma Yake kwa miaka mitatu na nusu pekee ya hiyo miaka yote. Kipindi Alichofanya kazi na kabla Aanze kazi Yake, Alikuwa na ubinadamu wa kawaida. Aliishi na ubinadamu Wake wa kawaida kwa miaka thelathini na tatu na nusu. Katika miaka yote mitatu na nusu ya mwisho Alijifichua kuwa Mungu mwenye mwili.
Tamko La Tano | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Tamko La Tano | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu alisema, Wakati Roho Wangu anatoa sauti, Anaonyesha hali nzima ya tabia Yangu. Je, wewe unalifahamu hili? Kutolifahamu hili katika hatua hii itakuwa sawa na kunipinga moja kwa moja. Je umeona umuhimu ulioko humu?
Matukio Aliyopitia Petro: Ufahamu Wake wa Adabu na Hukumu
Matukio Aliyopitia Petro: Ufahamu Wake wa Adabu na Hukumu
Mwenyezi Mungu alisema, Alipokuwa akiadibiwa na Mungu, Petro aliomba, "Ee Mungu! Mwili wangu ni mkaidi, na unaniadibu na kunihukumu mimi. Nafurahi katika adabu Yako na hukumu, na hata kama Hunitaki mimi, katika hukumu Yako mimi ninaona tabia Yako takatifu na tabia Yako ya haki.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)