Unapaswa Kutafuta Njia ya Uwiano na Kristo |
Jumatano, 15 Novemba 2017
Unapaswa Kutafuta Njia ya Uwiano na Kristo | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Unapaswa Kutafuta Njia ya Uwiano na Kristo | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Jumanne, 14 Novemba 2017
Mafanikio au Kushindwa Kunategemea Njia Ambayo Mwanadamu Hutembea | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mafanikio au Kushindwa Kunategemea Njia Ambayo Mwanadamu Hutembea | Kanisa la Mwenyezi Mungu |
Mafanikio au Kushindwa Kunategemea Njia Ambayo Mwanadamu Hutembea | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu alisema,Watu wengi wanamwamini Mungu kwa ajili ya hatima yao ya baadaye au kwa ajili ya starehe ya muda mfupi. Kwa wale ambao hawajapitia ushughulikiaji wowote, imani kwa Mungu ni kwa ajili ya kuingia mbinguni, ili kupata tuzo.
Sifa Kamili | Dansi ya Kilatini ''Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu"
Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu
Kazi kubwa ya Mungu hubadilika haraka sana, vigumu kuipima, kuridhisha kwa mtu.
Angalia kandokando yako, si kama awali, kila kitu ni kizuri na kipya.
Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu
Kazi kubwa ya Mungu hubadilika haraka sana, vigumu kuipima, kuridhisha kwa mtu.
Angalia kandokando yako, si kama awali, kila kitu ni kizuri na kipya.
Jumatatu, 13 Novemba 2017
Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video
Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video
Kama Nisingeokolewa na Mungu
Kama mimi nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu,
nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio.
Unapaswa Kutayarisha Matendo Mema ya Kutosha Kwa ajili ya Hatima Yako | Kanisa la Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu anasema:“ Nimefanya kazi nyingi miongoni mwenu na, bila shaka, Nimetamka mengi pia. Hata hivyo, Nahisi kwamba maneno na kazi Yangu havijatimiza lengo la kazi Yangu ya siku za mwisho kikamilifu. Maana, katika siku za mwisho, kazi Yangu si kwa ajili ya mtu au watu fulani, bali ni kwa manufaa ya kufafanua tabia Yangu asilia. Hata hivyo, kutokana na sababu nyingi—pengine ukosefu wa muda au shughuli nyingi za kazi—tabia Yangu haijamwezesha binadamu kunijua hata kidogo.
Katika Imani Yako kwa Mungu Unapaswa Kumtii Mungu
Katika Imani Yako kwa Mungu Unapaswa Kumtii Mungu |
Katika Imani Yako kwa Mungu Unapaswa Kumtii Mungu
Mwenyezi Mungu alisema,Kwa nini unamwamini Mungu? Watu wengi wanafadhaishwa na swali hili. Siku zote wana mitazamo tofauti kuhusu Mungu wa vitendo na Mungu wa mbinguni, jambo linaloonyesha kwamba wanamwamini Mungu sio ili wamtii, bali kupata manufaa fulani, au kuepuka mateso ya janga.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)