Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wanaopenda-Ukweli. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Wanaopenda-Ukweli. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 18 Januari 2018

Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa

Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata
Maneno ya Mwenyezi Mungu
1. Kama hali ya Watu Ni Ya Kawaida Inategemea na Kama Wanapenda Ukweli au La
Watu wengi wameibua suala lifuatalo: Baada ya ushirika wa juu, wanahisi wazi kabisa, wanakuwa na nguvu zaidi, na hawana hisia hasi—lakini hali kama hiyo inabaki tu kwa karibu siku kumi, ambapo baadaye hawawezi kudumisha hali ya kawaida. Suala ni nini? Je mmewahi kujiuliza kinachosababisha hili? Mbona hali zenu ni nzuri sana katika siku hizo takriban kumi za kwanza? Wengine wanasema kuwa hili ni tokeo la kutolenga ukweli.