Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfalme-wa-ufalme. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfalme-wa-ufalme. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 29 Novemba 2017

Tamko La Ishirini na Tisa | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki

Tamko La Ishirini na Tisa | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Siku hiyo ambayo vitu vyote vilifufuliwa, Nilikuja miongoni mwa wanadamu, na Nimeshinda naye kwa siku zilizokuwa nzuri usiku na mchana. Ni katika hatua hii tu ndipo mwanadamu anaona wepesi Wangu wa kuzungumzishwa, na vile uhusiano wake na Mimi unavyozidi kuwa mwingi, anaona baadhi ya vile Nilivyo navyo na Nilivyo—na kwa sababu hii, anapata ufahamu kunihusu.