Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maneno-Bora-zaidi-ya-Mungu-Kuhusu-Injili-ya-Ufalme-Chaguzi-Muhimu-Kutoka-Kwa Maneno Ya Mungu Yamo Ndani (Chaguzi). Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maneno-Bora-zaidi-ya-Mungu-Kuhusu-Injili-ya-Ufalme-Chaguzi-Muhimu-Kutoka-Kwa Maneno Ya Mungu Yamo Ndani (Chaguzi). Onyesha machapisho yote

Jumanne, 7 Novemba 2017

Kristo Hufanya Kazi ya Hukumu Kwa Ukweli

Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ya siku za mwisho ni kutenganisha vitu vyote kulingana na jinsi yavyo, kuhitimisha mpango wa usimamizi wa Mungu, kwa maana muda u karibu na siku ya Mungu imewadia. Mungu huwaleta wote ambao wameingia katika ufalme Wake, yaani, wale wote ambao wamekuwa waaminifu Kwake mpaka mwisho, katika enzi ya Mungu Mwenyewe.