Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumhudumia-MunguRoho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumhudumia-MunguRoho-Mtakatifu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 27 Novemba 2017

Ni Wale Tu Wanaoijua Kazi ya Mungu Leo Wanaoweza Kumhudumia Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki

Ni Wale Tu Wanaoijua Kazi ya Mungu Leo Wanaoweza Kumhudumia Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Ili uwe na ushuhuda kwa Mungu na kuliaibisha joka jekundu ni sharti uwe na kanuni, na sharti: Katika moyo wako ni lazima umpende Mungu na uingie katika maneno ya Mungu. Kama huingii katika maneno ya Mungu, basi hutakuwa na njia ya kumuaibisha Shetani.