Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Jumuiya-yote-ya-kidini. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Jumuiya-yote-ya-kidini. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 21 Novemba 2017

Ufalme wa Milenia Umewasili | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Ufalme wa Milenia Umewasili | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Je, mmeona kazi ambayo Mungu ataikamilisha katika kundi hili la watu? Mungu alisema, hata katika Ufalme wa Milenia watu ni lazima waendelee kufuata matamshi Yake, na katika maisha ya baadaye, matamshi ya Mungu bado yatakuwa yanaongoza maisha ya mwanadamu moja kwa moja kwenda katika nchi ya Kanaani. Musa alipokuwa jangwani, Mungu alimwelekeza na kuzungumza naye moja kwa moja.