Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fumbo-la-Kupata-Mwili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Fumbo-la-Kupata-Mwili. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 24 Januari 2019

Dondoo kutoka kwa Vifungu Vinne vya Neno la Mungu Kuhusu “Fumbo la Kupata Mwili”

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Maneno ya Mungu

Dondoo kutoka kwa Vifungu Vinne vya Neno la Mungu Kuhusu “Fumbo la Kupata Mwili”

1. Katika Enzi ya Neema, Yohana alimwandalia Yesu njia. Hangeweza kufanya kazi ya Mungu Mwenyewe ila alitimiza tu kazi ya mwanadamu. Ingawa Yohana alikuwa mtangulizi wa Bwana; hangeweza kumwakilisha Mungu; alikuwa tu binadamu aliyetumiwa na Roho Mtakatifu. Kufuatia ubatizo wa Yesu, “Roho Mtakatifu alimshukia Yeye kwa mfano wa njiwa.”